NAIBU WAZIRI MAVUNDE AELEZA MKAKATI WA SERIKALI KUBORESHA KITUO CHA UTAFITI ZAO LA MICHIKICHI-KIGOMA
Na Mwandishi Wetu Kigoma Naibu Waziri wa Kilimo, Anthony Mavunde ameeleza mkakati wa Serikali kupitia Wizara ya kilimo wa kukiboresha kituo cha utafiti wa Kilimo-TARI KIHINGA ili kisaidie kuchochea maendeleo ya zao la Mchikichi. Naibu Waziri Mavunde ameyasema hayo mkoani Kigoma alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kigoma wakati ziara ya Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed